Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Dr Sheni afunguka ...... Tunataka serikali mbili

$
0
0
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM), kinaunga mkono muundo wa Serikali mbili. Dk. Shein alitoa kauli hiyo juzi, wakati akizindua kampeni za uchaguzi mdogo katika Jimbo la Kiembesamaki, mjini hapa, sambamba na kumnadi mgombea wa jimbo hilo, Mahmoud Thabit Kombo (CCM). Alisema CCM itaendelea kuunga mkono

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles