Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Kaburi lafukuliwa na maiti kunyofolewa uti wa mgongo

$
0
0
WATU wasiofahamika wamefukua kaburi la Rosa Kikwe, aliyefariki dunia mwaka 2005 na kuchukua mfupa wake wa uti wa mgongo, kwa kile kinachodaiwa kuwa ni imani za kishirikina. Jeshi la Polisi Wilaya ya Bunda, limethibitisha kutokea kwa tukio hilo lililotokea juzi, katika Kijiji cha Kihumbu, Kata ya Hunyari.Ilielezwa usiku wa tukio hilo, watu hao walifukua kaburi alimozikwa mwanamke huyo,

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>