marehemu Ann enzi za uhai wake
Ann alikuwa anafanya kazi na BBC katika ofisi za Nairobi na amekuwa akiugua Saratani ya Ubongo kwa karibu miaka miwili.
Ann aliwahi kuwa ripota wa BBC mjini Addis Ababa Ethiopia.
Kabla ya kujiunga na BBC Ann alifanya kazi na
shirika la habari la Nation Media Group nchini Kenya na Citizen TV. Ann
alikuwa na umri wa miaka 39.
Waandishi wenza
↧