Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mwandishi wa habari wa BBC Ann Waithera afariki dunia

$
0
0
 marehemu Ann enzi za uhai wake Ann alikuwa anafanya kazi na BBC katika ofisi za Nairobi na amekuwa akiugua Saratani ya Ubongo kwa karibu miaka miwili.   Ann aliwahi kuwa ripota wa BBC mjini Addis Ababa Ethiopia. Kabla ya kujiunga na BBC Ann alifanya kazi na shirika la habari la Nation Media Group nchini Kenya na Citizen TV. Ann alikuwa na umri wa miaka 39.    Waandishi wenza

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>