Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Lowassa aipinga sheria ya kuyafungia magazeti....Amtaka Naibu Waziri wa Habari, Juma Nkamia amalize vifungo visivyo na mwisho vya baadhi ya vyombo vya habari nchini.

$
0
0
MWENYEKITI wa Kamati ya Kudumu ya Bunge  ya Mambo ya Nje, Edward Lowassa, amesema anakerwa na tabia ya serikali kufungia magazeti na amemfunda Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Juma Nkamia na kumtaka amalize vifungo visivyo na mwisho vya baadhi ya vyombo vya habari nchini.  Pia waziri mkuu huyo wa zamani, amemtaka Nkamia ahakikishe katika majukumu yake mapya ya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>