Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

CHADEMA kususia uchaguzi mkuu wa 2015 iwapo Serikali haitaboresha Daftari la Kudumu la Wapigakura

$
0
0
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetoa sharti ambalo kama halitatekelezwa chama hicho hakitashiriki Uchaguzi Mkuu wala hakitapiga kura ya kupitisha rasimu ya katiba.    Sharti hilo lilitolewa mjini Bukoba juzi na Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, wakati akihutubia katika mkutano wa hadhara ikiwa ni mwendelezo mikutano ya Operesheni ya M4C Pamoja Daima uliofanyika katika

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>