Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi la Ulinzi na
Usalama, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete ameliamuru Jeshi la Wananchi wa
Tanzania (JWTZ) kuanza mara moja kazi ya kusimamia utoaji huduma kwa
watu walioathiriwa na mafuriko katika Mkoa wa Morogoro, ikiwa ni pamoja
na kusimamia ujenzi wa nyumba za muda wa waathirika hao.Rais pia
ameliamuru Jeshi kupeleka
↧