Leo nimeandika kuhusu
Deni la Taifa kukua kwa kasi na kufikia tshs 27 trilioni mpaka Desemba
2013 kutoka tshs 10 trilioni mwaka 2005. Baadhi ya Watalaamu wanajenga
hoja kuwa kukopa sio shida, bali kukopa kwa ajili ya nini.
Nikakumbuka
mzigo wa madeni ambao Taifa lilibeba miaka ya sabini na themanini kiasi
cha Tanzania kukoswa koswa kuwa nchi ya Kwanza duniani kushindwa
kuhudumia
↧