Aliyekuwa
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Dkt. Emmanuel Nchimbi akitoa
neno fupi wakati wa hafla fupi ya Makabidhiano rasmi ya Ofisi kwa Waziri
Mpya wa Wizara ya Mambo ya Ndani, Mhe. Mathias Chikawe(wa pili kulia).
Hafla hiyo imefanyika leo Januari 27, 2014 katika Ukumbi wa Makao Makuu
ya Jeshi la Polisi, Jijini Dar es Salaam.
Waziri
Mpya wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya
↧