Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Nguvu za Edward Lowassa zaitesa UVCCM...Mmoja wa viongozi wake atoa taarifa iliyojaa maneno makali akimshambulia Lowassa, Wenzake wamkana

$
0
0
Ushawishi wa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), umeipasua Jumuiya ya Vijana ya chama hicho (UVCCM). Mmoja wa viongozi  wake ametoa taarifa iliyojaa maneno makali akimshambulia Lowassa na baadhi ya viongozi wa dini akiwahusisha na kampeni za uchaguzi wa urais mwakani. Bila kutaja jina la kiongozi yeyote wa dini, ila tu kurejea kwa ujumla wao

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles