Mauaji
ya kutisha yametikisha wilaya ya Tarime kiasi cha kumfanya Mkuu wa
Jeshi la Polisi (IGP), Ernest Mangu, kutuma timu maalum kutoka makao
makuu ya jeshi hilo inayohusisha kamisheni ya Operesheni kufanya
uchunguzi.
Hatua ya kupelekwa kwa timu hiyo inatokana na mauaji ya mfululizo katika
mji wa Tarime ambayo ipo kwenye himaya ya Kanda Maalum ya Polisi ya
Tarime na Rorya ambayo
↧