Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mauaji yaitikisa nchi...Jambazi laendesha mauaji ya watu 8 kwa siku tatu mfululizo, IGP Mangu ashtushwa, apeleka wapelelezi kumsaka

$
0
0
Mauaji ya kutisha yametikisha wilaya ya Tarime kiasi cha kumfanya Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Ernest Mangu, kutuma timu maalum kutoka makao makuu ya jeshi hilo inayohusisha kamisheni ya Operesheni kufanya uchunguzi. Hatua ya kupelekwa kwa timu hiyo inatokana na mauaji ya mfululizo katika mji wa Tarime ambayo ipo kwenye himaya ya Kanda Maalum ya Polisi ya Tarime na Rorya ambayo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>