Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Watu 29 wahukumia kifungo cha miaka 3 jela kutokana na vurugu za nani anaruhusiwa kuchinja zilizotokea mwaka jana

$
0
0
Mahakama ya Wilaya ya Mbozi mkoani Mbeya, imewahukumu watu 29 kifungo cha miaka mitatu jela kila mmoja ama kulipa faini ya Sh400,000 baada ya kutiwa hatiani kwa makosa ya kuandamana bila kibali na kuvunja nyumba za ibada wakati wa vurugu za kugombea kuchinja katika Mji wa Tunduma wilayani Momba mwaka jana.    Hakimu Mfawidhi wa Mahakama hiyo, Rahimu Mushi akisoma hukumu hiyo alisema

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>