Penniel Mwingila aka VJ Penny ambaye wengi wanamfahamu kama
mpenzi wa mkali wa Bongo Flava, Diamond Platinumz ambao hivi sasa hawako
pamoja, anaamini kuwa ingawa hakuna mwanaume mkamilifu, kuna sehemu
yupo mkamilifu japo kwa kiasi kidogo.
Penny amefunguka katika mahojiano aliyofanya na mtandao wa Bongo5
kuhusu maisha yake kwa ujumla na uhusiano wake na Diamond Platinumz
ambaye hivi
↧