Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uongozi wa jiji la Mwanza wachukua maamuzi magumu ya kuifunga shule ya msingi...

Uongozi  wa  Jiji  la  Mwanza  jana  ulilazimika  kuchukua  maamuzi  magumu  ya  kuifunga  Shule  ya  msingi  Kiseke   iliyoko  jijini  humo  kwa  muda  usiojulikana  baada  kubainika  kuwa  shule...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete alipowatembelea na kuwafariji wagonjwa Muhimbili

Huu  ni  moyo  wa  kipekee  wenye  kila  aina  ya  huruma  aliojaliwa  Rais  Wetu  Mtukufu, Dr. Jakaya  Kikwete.. Ilikuwa  ni  tarehe  28  mwezi   uliopita ( Takribani  siku 20 zilizopita )  ambapo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete amuozesha mwanaye, Miraji Kikwete

Shamra shamra na nderemo zilitawala jana kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Mlimani City wakati Miraji Kikwete, mtoto wa Rais wa Tanzania, Jakaya Kikwete alipofunga ndoa na Alma Mahmoud.   Sherehe hizo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mume amkata mkono mkewe....Kisa cha unyama huo ni mwanamke kukataa kwenda...

  Ni mkasa wa kusikitisha kama siyo kutisha, unaowafanya wanaume  wengi wa siku hizi  waonekane ni makatili na majanga matupu mbele ya jamii.    Kitendo hicho cha kinyama, kimemkuta mwanamke Leah...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nasumbuliwa na tatizo la kujichua....Kwa siku napiga mara 3 mpaka 4 kiasi...

Rafiki yangu alinifundisha kujichua ( kupiga pul) , sasa nimeathirika na tatizo hilo nikiwa na umri wa miaka 20 tu.  Nimeshafanya tendo hilo kwa muda mrefu.Kwa siku huwa napiga tatu mpaka 4  kiasi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete afanya uteuzi wa wa makatibu tawala wapya mikoa mitano na...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Jumamosi, Januari 18, 2014,  amefanya uteuzi wa Makatibu Tawala wapya wa mikoa mitano na kuhamisha makatibu tawala wengine...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete afanya Mabadiliko katika Baraza la Mawaziri .....Hawa ndo...

   Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, amewahamisha na kuwateua baadhi ya Mawaziri na Naibu Mawaziri kama ifuatavyo:- 1.0 OFISI YA RAIS Hakuna mabadiliko. 2.0...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Loveness Diva, B12 na Adam Mchomvu warudishwa kazini Clouds Fm baada ya...

WATANGAZAJI maarufu Bongo wa Redio Clouds Fm ya jijini Dar es Salaam, Hamis Mandi ‘B 12’, Adam Mchomvu na Loveness Malinzi ‘Diva’, wamerudishwa kazini baada ya kuomba msamaha. Hamis Mandi ‘B 12’....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sad News: Ajali yaua watu 13 eneo la Isuna mkoani Singida

Watu 13 wamefariki dunia baada ya magari mawili kugongana uso kwa uso eneo la Isuna mkoani Singida...    Habari  zaidi  zinaarifu  kuwa,  ajali hiyo imehusisha gari aina ya Toyota Noah na lori ambayo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwanajeshi FEKI atiwa mbaroni Tanga akitaka kumtapeli mkuu wa wilaya

  'Koplo feki' akihojiwa wa Luteni Yahya Wangwe na Mteule daraja la pili Albano Semfuko. 'Koplo feki' wa JWTZ akiwa ofisini kwa Mkuu wa Wilaya. 'Koplo feki' akijiandaa kupanda kwenye gari kupelekwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wadau wapinga Dk Shukuru Kawambwa kubakizwa Wizara ya Elimu...Wadai kufanya...

Baadhi ya wadau wa elimu wamesema kubakizwa kwa Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa na kumwondoa Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Philipo Mulugo hakuwezi kuleta...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watu 12 wa jamii ya Kimasai wafikishwa kizimbani kwa tuhuma za mauaji...

   Wafugaji 12 wa jamii ya Kimasai wilayani Kiteto, katika Mkoa wa Manyara, wamefikishwa mahakamani wakikabiliwa na kesi ya mauaji ya wakulima tisa.   Mwendesha Mashtaka Sajenti wa Polisi, Oscar...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lettie Matabane ambaye ni Muigizaji maarufu wa Tamthilia ya Isidingo afariki...

Aliyekuwa muigizaji maarufu katika Tamthilia ya Isidingo The Need ya Afrika Kusini, Lesego Motsepe maarufu zaidi kwa jina la Lettie Matabane, amefariki dunia nchini mwake jana.    Lettie, ambaye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nimetokea kumpenda baba mwenye nyumba nilipopanga, Ni mume wa mtu na ana...

  Ndugu  zangu, naombeni  nisieleke  vibaya.. Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 26. Nina mwaka wa kwanza tangu nianze kujitegemea mara baada ya kumaliza shule. Nimepanga kwenye nyumba moja iliyoko...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"Baba yangu aliuawa nikiona kwa macho yangu....Nilipotaka kumsaidia,...

MTOTO mmoja aliyetambulishwa kwa jina la Joyce Jeremia, 11,(pichani)  amejeruhiwa vibaya katika mapigano ya wa kulima na Wamasai ambao ni wafugaji katika Kijini cha Laitini, Kiteto mkoani Manyara....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwigulu Nchemba awajibu watanzania wanaomponda baada ya kuteuliwa kuwa Naibu...

Naibu Waziri wa Wizara ya Fedha, Mwigulu Nchemba, ambaye juzi alikuwa miongozi mwa manaibu waziri walioapishwa na Rais Jakaya Kikwete kushika nyadhifa zao amewaambia watu wanaoponda uteuzi wake kuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sad News: Ajali yaua wanafunzi wanne na kujeruhi wengine 20 asubuhi hii...

Taarifa tuliyoipata   hivi  punde  ni kuhusu ajali ambayo imetokea asubuhi majira ya sa 12 huko Mtwara ambayo imehusisha wanafunzi wa Shule ya Secondary ya Mustapha Sabodo ambao walikua wanakimbia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kagame anusurika kufa....Atangaza kuacha Urais, Uingereza yatakiwa...

RAIS wa Rwanda, Paul Kagame amenusurika kifo baada ya msafara wake nchini Kenya kupata ajali na kusababisha watu wawili kujeruhiwa vibaya.  Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na Shirika la Habari la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"Mbwa Mwitu" sita wafikishwa mahakamani jijini Dar

Wakazi sita wa Dar es Salaam maarufu Mbwa Mwitu au waanzilishi wa kundi la Watoto wa Mbwa, wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala kujibu shtaka la unyang’anyi wa kutumia silaha.    Wakili wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sad News: Mbunge wa Chalinze, Said Ramadhani Bwanamdogo ( CCM ) afariki dunia

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Anne S. Makinda (Mb), anasikitika kutoa taarifa ya kifo cha Mbunge wa Jimbo la Chalinze Mhe. Saidi Ramadhani Bwanamdogo Kilichotokea leo Jumatano...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live