Shamra shamra na nderemo zilitawala jana kwenye Ukumbi wa
Mikutano wa Mlimani City wakati Miraji Kikwete, mtoto wa Rais wa
Tanzania, Jakaya Kikwete alipofunga ndoa na Alma Mahmoud.
Sherehe hizo zilianza saa 7:00 mchana baada ya ndoa kufungwa na maharusi hao kuingia ukumbini hapo wakiongozana na Rais Kikwete.
Hali nje
↧