Huu ni moyo wa kipekee wenye kila aina ya huruma aliojaliwa Rais Wetu Mtukufu, Dr. Jakaya Kikwete..
Ilikuwa ni tarehe 28 mwezi uliopita ( Takribani siku 20 zilizopita ) ambapo Rais wetu pamoja na majukumu mengi aliyonayo alifunga safari na kuelekea Muhimbili kuwajulia hali na kuwafariji wagonjwa mbalimbali.....
Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete
↧