Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mume amkata mkono mkewe....Kisa cha unyama huo ni mwanamke kukataa kwenda kuchukua chakula kwa mama yake mzazi

$
0
0
  Ni mkasa wa kusikitisha kama siyo kutisha, unaowafanya wanaume  wengi wa siku hizi  waonekane ni makatili na majanga matupu mbele ya jamii.    Kitendo hicho cha kinyama, kimemkuta mwanamke Leah  Benard mkazi wa Kijiji cha Kifufu, mkoani wa Geita baada ya kukatwa kiganja chake cha mkono kwa panga na mumewe (jina kapuni). Kisa cha kufanyiwa unyama huo kinadaiwa kuwa ni

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles