Ni mkasa wa kusikitisha kama siyo kutisha,
unaowafanya wanaume wengi wa siku hizi waonekane ni makatili na
majanga matupu mbele ya jamii.
Kitendo hicho cha kinyama, kimemkuta mwanamke Leah Benard mkazi wa
Kijiji cha Kifufu, mkoani wa Geita baada ya kukatwa kiganja chake cha
mkono kwa panga na mumewe (jina kapuni).
Kisa cha kufanyiwa unyama
huo kinadaiwa kuwa ni
↧