Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Sad News: Ajali yaua wanafunzi wanne na kujeruhi wengine 20 asubuhi hii mkoani Mtwara....

$
0
0
Taarifa tuliyoipata   hivi  punde  ni kuhusu ajali ambayo imetokea asubuhi majira ya sa 12 huko Mtwara ambayo imehusisha wanafunzi wa Shule ya Secondary ya Mustapha Sabodo ambao walikua wanakimbia mchaka mchaka.    Chanzo cha ajali hiyo kinasema kuwa kuna Gari ndogo aina ya Benzi ilimgonga mwanafunzi mmoja aliyekuepo kwenye mchamchaka huo .Baada ya wanafunzi kuona hali hiyo katika

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>