Taarifa tuliyoipata hivi punde ni kuhusu ajali ambayo imetokea
asubuhi majira ya sa 12 huko Mtwara ambayo imehusisha
wanafunzi wa Shule ya Secondary ya Mustapha Sabodo ambao walikua
wanakimbia mchaka mchaka.
Chanzo cha ajali hiyo kinasema kuwa kuna Gari ndogo aina ya Benzi
ilimgonga mwanafunzi mmoja aliyekuepo kwenye mchamchaka huo .Baada ya
wanafunzi kuona hali hiyo katika
↧