Naibu Waziri wa Wizara ya Fedha, Mwigulu
Nchemba, ambaye juzi alikuwa miongozi mwa manaibu waziri walioapishwa
na Rais Jakaya Kikwete kushika nyadhifa zao amewaambia watu wanaoponda
uteuzi wake kuwa hana haja ya kubishana nao kwani hawamjui.
Katika maelezo yake, Mwigulu alisema
anamshukuru Mheshimiwa Rais kwa kumwamini kuwa anaweza kumsaidia katika
kusimamaia sera na mipango ya
↧