Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Sad News: Ajali yaua watu 13 eneo la Isuna mkoani Singida

$
0
0
Watu 13 wamefariki dunia baada ya magari mawili kugongana uso kwa uso eneo la Isuna mkoani Singida...    Habari  zaidi  zinaarifu  kuwa,  ajali hiyo imehusisha gari aina ya Toyota Noah na lori ambayo namba zake za usajili hazikupatikana mara moja.  Watu 13 waliofariki walikuwa katika Noah iliyokuwa ikitokea Itigi na maiti zao zimehifadhiwa katika Hospitali ya Mkoa wa Singida. 

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>