Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Lettie Matabane ambaye ni Muigizaji maarufu wa Tamthilia ya Isidingo afariki dunia.....Alikuwa akiishi na Virusi Vya Ukimwi kwa zaidi ya miaka 15

$
0
0
Aliyekuwa muigizaji maarufu katika Tamthilia ya Isidingo The Need ya Afrika Kusini, Lesego Motsepe maarufu zaidi kwa jina la Lettie Matabane, amefariki dunia nchini mwake jana.    Lettie, ambaye alijipatia umaarufu mkubwa katika tamthilia hiyo kuanzia mwaka 1998 hadi 2008 alipoamua kuondoka, alikuwa akiishi na virusi vya Ulimwi kwa zaidi ya miaka 15. Mwaka 2011, aliwashitua

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>