Quantcast
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Watu 12 wa jamii ya Kimasai wafikishwa kizimbani kwa tuhuma za mauaji Wilayani Kiteto wakati wa mapigano ya wakulima na wafugaji

   Wafugaji 12 wa jamii ya Kimasai wilayani Kiteto, katika Mkoa wa Manyara, wamefikishwa mahakamani wakikabiliwa na kesi ya mauaji ya wakulima tisa.   Mwendesha Mashtaka Sajenti wa Polisi, Oscar Munisi, alidai kuwa watuhumiwa walitenda makosa hayo Januari 12 mwaka huu, katika Vitongoji cha Laitime na Mtanzania wilayani Kiteto.  Image may be NSFW.
Clik here to view.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>