Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Wadau wapinga Dk Shukuru Kawambwa kubakizwa Wizara ya Elimu...Wadai kufanya hivyo hakuwezi kuleta mabadiliko yoyote kwani Waziri ndiye msimamizi mkuu wa sera

$
0
0
Baadhi ya wadau wa elimu wamesema kubakizwa kwa Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa na kumwondoa Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Philipo Mulugo hakuwezi kuleta mabadiliko yoyote kwani Waziri ndiye msimamizi mkuu wa sera.    Wakitoa maoni yao jana kuhusu mabadiliko kwenye wizara hiyo, baadhi yao walisema hakutakuwa na miujiza kutoka kwa Jenista Mhagama

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>