Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

"Mbwa Mwitu" sita wafikishwa mahakamani jijini Dar

$
0
0
Wakazi sita wa Dar es Salaam maarufu Mbwa Mwitu au waanzilishi wa kundi la Watoto wa Mbwa, wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala kujibu shtaka la unyang’anyi wa kutumia silaha.    Wakili wa Serikali, Nassoro Katuga aliwataja washtakiwa hao kuwa ni Sijali Abdallah (19), Sadick Mpambe (25) maarufu Chitemo na Balozi Inasio (19) wote wakazi wa Kiwalani.  

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>