Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, amewahamisha na kuwateua baadhi ya Mawaziri na Naibu Mawaziri kama ifuatavyo:-
1.0 OFISI YA RAIS Hakuna mabadiliko. 2.0 OFISI YA MAKAMU WA RAIS 2.1 Waziri wa Nchi (Muungano) - Hakuna mabadiliko 2.2 Mhe. Eng. Dr. Binilith Satano MAHENGE (Mb) Waziri wa Nchi (Mazingira). 2.3 Mhe. Ummy Ali MWALIMU (Mb)
↧