Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ujumbe wa Ray C kwa wavuta bangi wote...

Ray  C   ambaye aliathirika na matumizi ya dawa za kulevya na baadae kupona  ameendelea kuwa kioo cha jamii kwa ku-share experience yake baada ya kupona kwenye ishu ya dawa za kulevya. Msanii  huyo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwanamke mwingine abakwa na kuchomekwa miti sehemu za siri

Ikiwa  ni  siku  chache  baada  ya  mwnamke  mmoja  mkazi  wa  kahama  kubabwa  na  kutobolewa  macho  huku  akichomekwa  kisu  sehemu  zake  za  siri, mitandao  ya  kinigeria  nayo  imeripoti  unyama...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Miss utalii aliyepiga picha za uchi na Manaiki apewa kichapo cha mbwa mwitu

Zile picha za aibu zilizoongoza  kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii nchini pamoja na nje ya nchi hasa nchini Kenya zilizokuwa zikimuonesha mwanamuziki na msanii wa bongo muvi Manaiki Sanga akiwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Afisa wa jeshi atorokea Rwanda na siri nzito za jeshi letu....

  OFISA wa cheo cha juu katika Jeshi la Wananchi (JWTZ), anayeaminika kuwa na asili ya Rwanda, ametoweka katika mazingira ya kutatanisha, huku akiacha wingu la mashaka kwamba, hatua yake hiyo inaweza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtandao wa Rwanda wadai Rais Kikwete si Mtanzania Original

Mtandao wa News of Rwanda juzi umeandika makala yenye kichwa cha habari, ‘If President Kikwete is Tanzanian, then most Rwandans being expelled are Tanzanians too’ na kuandika kile linachodai kuwa Rais...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwalimu wa miaka 30 amuweka kinyumba mwanafunzi wake wa miaka 14

MWANAFUNZI wa darasa la saba katika Shule ya Msingi ya Sokoine, Manispaa ya Dodoma (jina linahifadhiwa), anadaiwa kuwekwa kinyumba na mwalimu wake David Macha (30). Mwanafunzi huyo wa miaka 14 ni kati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Huyu ndo Mangunga aliyewatoroka akina Masogange baada ya polisi kuwanasa

Waziri wa uchukuzi Prof. Harrison Mwakyembe alimtaja mshukiwa mmoja wa dawa za kulevya aitaye Nassoro Mangunga  na  kuwataka  polisi  wamtie  nguvuni  popote  atakapoonekana.... Hata  hivyo, mshukiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wafuasi wa Sheik Ponda wapiga kambi katika gereza la Segerea

Wafuasi wa Kiongozi wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Issa Ponda wamepiga kambi katika Gereza la Segerea, Dar es Salaam wakitaka kumwona bila mafanikio.  Wakizungumza jana nje ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtoto apigwa na kulishwa Mavi na baba yake mzazi huko Mara

MWALIMU wa Shule ya Msingi Morotonga, wilayani Serengeti, Mkoa wa Mara, Karata Mugunda, anashikiliwa na Jeshi la Polisi wilayani hapa, kwa tuhuma za kumpiga na kumlisha kinyesi mtoto wake wa kumzaa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Madiwani waliotimuliwa CCM wadai kuwa wako tayari kuhamia CHADEMA

MADIWANI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), waliofukuzwa katika Manispaa ya Bukoba, wamesema wako tayari kuhamia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kama chama chao kitaendelea na msimamo wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwanamke avunjwa nyonga na kunyolewa nywele kwa kisu na mume wake

Tajiri ambaye ni mfanyabishara mkubwa katika maduka ya Kariakoo, Dar aliyetajwa kwa jina moja la Urio anadaiwa kumvunja nyonga na kumjeruhi mkewe Eva Pascal anayeuguza majeraha kwenye Hospitali ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mume wa mtu afumaniwa Gesti akingonoka na binti yake

Mwanaume aliyetajwa kwa jina moja la Temba, mkazi wa Kimara-Rombo, Dar ambaye ni dereva wa daladala amefumaniwa laivu na mkewe akiwa gesti na binti yao wanayemlea. Tukio hilo la aina yake lilijiri wiki...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Update: Sheik Ponda afikishwa Mahakamani chini ya ulinzi mkali

Katibu Mkuu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini, Sheikh Issa Ponda muda huu amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya mkoa wa Morogoro.  Sheikh Ponda amefikishwa mahakamani hapo chini ya ulinzi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bibi kizee mchawi adondoka wakati akiwanga saa mbili usiku

  Watu wakimshangaa bibi aliyedaiwa kuwa mchawi. Ni aliyekaaa katikati. ...Akipewa chakula, wali na maharage kutoka kwa wasamaria wema.   Akiwa kapakatia sahani la wali aliopewa. Watu waliokusanyika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha na habari kamili kuhusu vurugu zilizotokea jijini mwanza leo

  MAANDAMANO ya amani yaliyokuwa yameandaliwa na chama cha demokrasia na maendeleo(chadema) yamegeuka shubiri kwa wakazi wa jiji la Mwanza baada ya kuibuka mapambano makali baina ya waandamanaji hao na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Haya ndo mashitaka matatu aliyosomewa Sheikh Ponda mahakamani leo

Kiongozi wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Issa Ponda leo amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mfawidhi mkoa wa Morogoro kujibu mashitaka matatu yanayomkabili ambayo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"Waliopanda mbegu DECI watarudishiwa....."Hii ni kauli ya mahakama

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam imewahukumu kwenda jela miaka mitatu au kulipa faini ya sh milioni 21 vigogo wanne wa iliyokuwa Kampuni ya Development Entrepreneurship for  Community...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtawa wa kanisa katoliki avamiwa na kujeruhiwa huko zanzibar

MTAWA wa Kanisa Katoliki la Bububu visiwani Zanzibar, Sister Irene Ludovik Mwenda (34), amevamiwa na watu wasiojulikana na kushambuliwa na marungu, hali iliyomsababishia maumivu makali mwilini. Sakata...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtandao wa Kagame wadai kuwa Mama Salma Kikwete ni Mnyarwanda

   Mtandao  wa  News  of  Rwanda  umeendelea  kutuchokonoa  watanzania  ili  kuupima  msimamo  wetu..... Baada  ya  kukurupa  na  madai  kwamba  Rais  Kikwete  si  mtanzania  halisi  na  kwamba  ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ujumbe muhimu kwa wanaouza makalio yao mitandaoni.....

Unapiga Picha unaandika maneno mazuri tu na kupost Facebook ama Instragram ,''Asante Mungu kwa siku hii ya Jumatatu,AMEN''... Cha  kushangaza  ni  kwamba  picha yenyewe umepiga makalio yako  na...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>