Mwanaume aliyetajwa kwa jina moja la Temba, mkazi wa Kimara-Rombo, Dar
ambaye ni dereva wa daladala amefumaniwa laivu na mkewe akiwa gesti na
binti yao wanayemlea.
Tukio hilo la aina yake lilijiri wiki iliyopita kwenye
gesti hiyo iliyopo maeneo hayohayo ya Kimara-Rombo, majira ya saa 10:00
jioni ambapo Temba ambaye ni dereva wa daladala inayofanya safari kati
ya Kimara na Kariakoo
↧