Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mwanamke avunjwa nyonga na kunyolewa nywele kwa kisu na mume wake

$
0
0
Tajiri ambaye ni mfanyabishara mkubwa katika maduka ya Kariakoo, Dar aliyetajwa kwa jina moja la Urio anadaiwa kumvunja nyonga na kumjeruhi mkewe Eva Pascal anayeuguza majeraha kwenye Hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Akizungumza kwa uchungu akiwa wodini hospitali hapo, Eva au mama Tina alisema kuwa tukio hilo lilitokea hivi karibuni nyumbani kwao Kimara-Temboni, Dar. Mama Tina

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>