Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Madiwani waliotimuliwa CCM wadai kuwa wako tayari kuhamia CHADEMA

$
0
0
MADIWANI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), waliofukuzwa katika Manispaa ya Bukoba, wamesema wako tayari kuhamia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kama chama chao kitaendelea na msimamo wa kuwafukuza.  Akizungumza na MTANZANIA kwa njia ya simu jana, mmoja wa madiwani hao ambaye alikataa kutaja jina na kata yake, alisema wako tayari kuhamia Chadema muda wowote kama hawatarudishiwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>