Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Haya ndo mashitaka matatu aliyosomewa Sheikh Ponda mahakamani leo

$
0
0
Kiongozi wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Issa Ponda leo amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mfawidhi mkoa wa Morogoro kujibu mashitaka matatu yanayomkabili ambayo ni kutotii amri halali, kutoa maneno yenye nia ya kuharibu imani za dini na kushawishi  kutenda kosa.    Sheikh Ponda amefikishwa mjini Morogoro na helkopta ya jeshi la polisi majira ya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>