Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

"Waliopanda mbegu DECI watarudishiwa....."Hii ni kauli ya mahakama

$
0
0
  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam imewahukumu kwenda jela miaka mitatu au kulipa faini ya sh milioni 21 vigogo wanne wa iliyokuwa Kampuni ya Development Entrepreneurship for  Community Initiative (DECI ).   Hakimu Mkazi wa mahakama hiyo, Alocye Katemana, pamoja na adhabu hiyo pia ameiagiza serikali ifanye mchanganuo wa mali za DECI ambazo inazishikilia, kwa kuwa zipo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles