MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam imewahukumu
kwenda jela miaka mitatu au kulipa faini ya sh milioni 21 vigogo
wanne wa iliyokuwa Kampuni ya Development Entrepreneurship for
Community Initiative (DECI ).
Hakimu Mkazi wa mahakama hiyo, Alocye Katemana, pamoja na adhabu hiyo
pia ameiagiza serikali ifanye mchanganuo wa mali za DECI ambazo
inazishikilia, kwa kuwa zipo
↧