Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mwalimu wa miaka 30 amuweka kinyumba mwanafunzi wake wa miaka 14

$
0
0
MWANAFUNZI wa darasa la saba katika Shule ya Msingi ya Sokoine, Manispaa ya Dodoma (jina linahifadhiwa), anadaiwa kuwekwa kinyumba na mwalimu wake David Macha (30). Mwanafunzi huyo wa miaka 14 ni kati ya watoto wanaofadhiliwa na shirika lisilo la kiserikali la Compassion International Tanzania kituo cha Tz 807 FPCT kilichoko Chamwino. Hata hivyo, katika hali ya  kushangaza Jeshi

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>