Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Nuh Mziwanda wa Shilole alikopi kwa Nick Cannon na Mariah Carey? ( Cannon ana...

Mwimbaji wa Bongo Flava, Nuh Mziwanda aliwashitua wengi baada ya kujichora tattoo yenye jina la mpenzi wake ‘Shilole’, tattoo ambayo haifutiki daima. Kitu ambacho kiliwashitua wengi.   “Mimi nimefanya...

View Article


Sitta Awajibu Wanaofananisha Tume Ya Warioba na Bunge la Katiba

 Baada ya watu na taasisi kadhaa kudai kitendo cha Bunge Maalumu la Katiba kupokea maoni ya wananchi na kuyaongeza kwenye rasimu ya Katiba mpya, ni kuingilia kazi ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba,...

View Article


Rais Kikwete Anena: ...."Kuinua Maisha ya Watanzania Sio Kumwaga Fedha Mifukoni"

Rais Jakaya Kikwete amesema dhamira ya Serikali ni kuinua maisha ya Watanzania na dhamira hiyo iko pale pale na kwamba wanaofikiri nia hiyo ni kuwajaza wao fedha mifukoni uwezo huo haupo.   Rais...

View Article

Penzi la Mainda Lagombewa na Wanaume

Staa  wa  Filamu  za  Kibongo  aliyeamua  kumpokea  Yesu, Ruth Suka  'Mainda'  amesema  amekuwa  akipata  wakati  mgumu  kumjua  mwanaume  wa  kweli  ni  yupi  ambaye  anaweza  kumuoa  na  ndoa  yake...

View Article

Ajali Yaua Watu 10 na kujeruhi 7 Mbalizi mkoani Mbeya

Daladala lenye namba za usajili T 237 BFB aina Toyota Hiace baada ya kuparamia lori. Lori lenye namba za usajili T 158 CSV lililoparamiwa na daladala. Askari wa usalama wa barabarani akiwa anatazama...

View Article


Uchumba wa Agness Masogange Watibuliwa

SIKU chache baada ya kupata uraia wa Afrika Kusini, uchumba wa Video Queen, Agnes Gerald ‘Masogange’ na mpenzi wake, Louis Dolnard umetibuliwa. Hali hiyo ilijiri kutokana na madai kuwa kuna wanaume...

View Article

Babu wa Miaka 90 ateketea kwa moto Akiwa Usingizini

Mkazi wa Kimara Temboni, Felix Makundi (90) amekufa papo hapo baada ya kuteketea kwa moto wakati akiwa amelala.    Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillius Wambura alisema kuwa mzee huyo...

View Article

Rais Kikwete Atoa Onyo kwa Viongozi MADALALI wa Ardhi

Rais Jakaya Kikwete amewaonya viongozi wa ngazi mbalimbali nchini, wakiwemo wa Halmashauri kuacha mara moja tabia ya kujigeuza kuwa madalali wa kuuza mapori  ya ardhi, bali wazingatie suala la umuhimu...

View Article


Diva na Aunt Ezekiel Washikana Mashati kisa Ujauzito wa Aunt anaodaiwa kupewa...

Staa wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel Grayson amemvaa prizenta wa Kipindi cha Ala za Roho cha Redio Clouds FM, Lovennes Malinzi ‘Diva’ kwa madai kwamba amemtangaza mitandaoni kuwa amepachikwa...

View Article


Uraia Pacha Wabezwa Bunge Maalumu la Katiba

Suala la uraia pacha limeonekana ‘kupigwa chini’ na serikali na wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba baada ya wote kukubaliana zaidi juu ya hasara za kuruhusu uraia huo, ikiwemo hofu ya usalama wa taifa...

View Article

Majambazi Yabaka Mwalimu....Mwingine Aporwa milioni 20

Watu wanaosadikiwa kuwa majambazi wamemteka na kumvamia mwalimu mmoja na kumpora kiasi cha zaidi ya Sh milioni 20 na kisha kumbaka mwalimu mwingine wa kike katika kijiji cha Nassa Ginery wilayani...

View Article

Rais Kikwete kukutana na UKAWA Leo Jioni mkoani Dodoma.....Makanisa yatoa Onyo

Wakati Rais Jakaya Kikwete akikutana na viongozi wa vyama vya siasa vinavyounda Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) ili kuzungumzia mchakato wa Katiba, Jukwaa la Wakristo Tanzania (TCF), limesema...

View Article

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda Awatoroka Waandishi wa habari

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda jana alilazimika kutumia mlango wa uani kuondokea badala ya ule mkuu kwa kile kinachohisiwa kuwakwepa waandishi wa habari waliokuwa wakifuatilia ufunguzi wa mkutano wa...

View Article


Mgombea urais 2015 atinga Vatican kwa nia ya kutafuta uungwaji mkono wa...

WAKATI joto la uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 likiendelea kupanda miongoni mwa makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanaohusishwa na harakati za kuwania urais, mmoja wa makada hao amekwenda Vatican kwa...

View Article

REMIX: Nick Minaj AJAMBA VIBAYA Kwenye video yake ya ANACONDA.....Bofya hapa...

Video  ya   Nicki Minaji  ambayo ni booty-shaking imefanyiwa cheeky remix ikiwa na addition ya sauti ya kujamba aka ushuzi!!!. Team ya comedy ya South Africa and the Sunday Blues wali-share ngoma hiyo...

View Article


Serengeti Super Nyota Divaz Moshi yampata Sia Mary kama mwakilishi wao.

Mashindano ya serengeti Super Nyota Divaz ambayo ni sehemu ya wasanii wachanga au vipaji vipya kuonekana kwa mikoani hasa upande wa wakina dada ambao wamekua wakiikosa fursa ya kuonekana yamemalizika...

View Article

Majambazi Watano Wauawa kwa Kuzamishwa kwenye Maji

Watu watano wanaosadikiwa kuwa majambazi, wamepigwa kwa mawe hadi kufa wakijaribu kutoroka nguvu za umma kwa kutumia Mto Mara, wilayani Tarime huku wakiwa na bunduki mbili zinazotumika vitani aina ya...

View Article


Binti Mdogo toka Mtwara Ashinda milioni 50 za Shindano la TMT

Mshiriki kutoka Mtwara, Mwanaafa Mwinzago ameibuka kidedea katika Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) lililofanyika usiku wa kuamkia leo kwenye Ukumbi wa Mlimani City, jijini Dar es Salaam....

View Article

Licha ya skendo, Flora Mbasha Aibuka na Jipya tena

Msanii wa muziki Florah Mbasha, Baada ya kufunguka mengi kuhusiana na matatizo katika ndoa yake wiki hii, ameweka wazi kuwa shughuli zake za muziki bado zinaendelea huku akiwa na albam mpya kabisa...

View Article

Vazi la Lulu Michael Lawatesa Wanaume Wapenda Sketi

Vazi  alilokuwa  amevaa Lulu  Michael  katika  fainali  za  Shindano  la  TMT  lilizua  balaa  kubwa  kwa  wanaume  wapenda  sketi  baada  ya  vazi  hilo  kuanika  hadharani  maungo  nyeti  ya  msanii...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>