Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Majambazi Yabaka Mwalimu....Mwingine Aporwa milioni 20

$
0
0
Watu wanaosadikiwa kuwa majambazi wamemteka na kumvamia mwalimu mmoja na kumpora kiasi cha zaidi ya Sh milioni 20 na kisha kumbaka mwalimu mwingine wa kike katika kijiji cha Nassa Ginery wilayani Busega mkoani Simiyu.    Kwa mujibu wa Jeshi la Polisi katika mkoa wa Simiyu, tukio hilo lilitokea usiku wa kuamkia juzi kijijini hapo.    Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai mkoani Simiyu,

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>