Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Ajali Yaua Watu 10 na kujeruhi 7 Mbalizi mkoani Mbeya

$
0
0
Daladala lenye namba za usajili T 237 BFB aina Toyota Hiace baada ya kuparamia lori. Lori lenye namba za usajili T 158 CSV lililoparamiwa na daladala. Askari wa usalama wa barabarani akiwa anatazama na kuchunguza zaidi ajali hiyo. Eneo ambalo daladala hiyo iliyofumuka. Viti vikiwa vimeharibika baada ya ajali kutokea. Lori hilo baada ya ajali. Hivi ndivyo daladala hiyo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles