Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Sitta Awajibu Wanaofananisha Tume Ya Warioba na Bunge la Katiba

$
0
0
 Baada ya watu na taasisi kadhaa kudai kitendo cha Bunge Maalumu la Katiba kupokea maoni ya wananchi na kuyaongeza kwenye rasimu ya Katiba mpya, ni kuingilia kazi ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samwel Sitta, alisema bunge hilo lina mamlaka makubwa kuliko tume hiyo.   Amesema hata wajumbe wa bunge hilo wanaoendelea kupitia rasimu hiyo, siyo mazuzu, wana akili zao

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles