Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Rais Kikwete Atoa Onyo kwa Viongozi MADALALI wa Ardhi

$
0
0
Rais Jakaya Kikwete amewaonya viongozi wa ngazi mbalimbali nchini, wakiwemo wa Halmashauri kuacha mara moja tabia ya kujigeuza kuwa madalali wa kuuza mapori  ya ardhi, bali wazingatie suala la umuhimu wa kuweka akiba kwa ajili ya vizazi vijavyo.    Pia amewataka viongozi wa  Halmashauri hizo za  wilaya nchini kuweka utaratibu wa kupima  viwanja kwa ajili ya ujenzi wa viwanda, na kuacha

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>