Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Interview: Linah azungumzia muziki wake, mpango wa kwenda BBA, reaction baada...

Mwimbaji wa kike aliyepiga hatua kubwa hivi karibuni na kusainiwa na kampuni ya kubwa ya Afrika Kusini NFZ, Linah alifanya mahojiano exclusively na Times Fm na kufunguka zaidi kuhusu mambo muhimu...

View Article


Picha: Beyonce atumia 'kucha' kujibu taarifa za kutaka kuachana na Jay Z

Taarifa za maandilizi ya talaka kati ya wanandoa Jay Z na Beyonce zimendelea kuandikwa na vyombo vikubwa vya habari ambavyo huaminika sana nchini Marekani na Uingereza. Taarifa hizo zinazotolewa na...

View Article


Picha: Christina Aguilera apiga picha akiwa UCHI kuonesha ujauzito wake

Mwimbaji Christina Aguilera meamua kupiga picha akiwa mtupu kwa ajili ya jarida la ‘V Magazine’ la mwezi huu.   Katika picha hizo, mwimbaji huyo mwenye umri wa miaka 33 na mjamzito anaekaribia...

View Article

Mjumbe wa UKAWA atinga bungeni

Wakati wajumbe wa Bunge la Katiba wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) wakiendelea na msimamo wa kususia vikao vinavyotarajiwa kuanza leo mjini Dodoma, mmoja wa wajumbe wake jana aliripoti...

View Article

Rais Kikwete: Nitakuwa Rais wa mwisho kuongoza Tanzania masikini

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa anataka na anatamani kuwa Rais wa mwisho wa Tanzania kuongoza nchi ambayo ni maskini na hivyo atatumia muda wake...

View Article


Msichana aliyepigwa na mtoto wa Obama atoa kauli ya kushangaza

Mtoto wa rais wa kike wa Marekani, Malia Obama mwenye umri wa miaka 16 alimpiga/alimgonga kwa bahati mbaya msichana aliyefahamika kwa jina la Bridget Truskey walipokuwa katika tamasha kubwa la muziki...

View Article

Bifu la Diamond na Ali Kiba......Nay wa Mitego atamani kutembeza kipigo...

Ushindani kati ya Diamond na Ali Kiba ambao siku zote mimi nauita ‘ushindani usio rasmi’ huku wengine wakiutafsiri kama ‘beef’ umetengeneza mitazamo tofauti kati ya wadau wa muziki Tanzania.   Hivi...

View Article

Bunge la Katiba Laanza tena....Hii ni HOTUBA ya Mwenyekiti Samuel Sitta...

Karibuni tena Dodoma Waheshimiwa Wajumbe wa Bunge Maalum la kutunga Katiba ya nchi yetu. Sote tuna kila sababu ya kumshukuru Mwenyezi Mungu wetu kwa kuendelea kutupa uhai na afya hadi leo kutuwezesha...

View Article


Aunt Ezekiel Anusurika KUPIGWA Baada ya Kufumaniwa na Mume wa Mtu.....

Staa wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel Grayson anadaiwa kukinukisha nyumbani kwa Wema Isaac Sepetu baada ya kunusurika kufumaniwa na mume wa mtu, Moses Peter Iyobo a.k.a Moze Iyobo ambaye ni densa wa...

View Article


Rose Mhando AMTAMANI Gwajima......Aahidiwa kujengewa Kanisa huko Dodoma

Nyota wa nyimbo za Injili nchini, Rose Muhando amesema anatamani sana kuhamia kanisa la Ufufuo na Uzima linaloongozwa na Mchungaji Josephat Gwajima kutokana na mahubiri yake mazuri.   “Natamani...

View Article

Laana ya Mama Yake Yamtisha Wema Sepetu

NYOTA  wa  Filamu  za  kibongo  Wema  Sepetu  amesema  kuwa  katika  maisha yake  anajitahidi  hakosani  na  mama  yake  mzazi, Mirium Sepetu  ili  kukwepa  kupata  laana  ya  kile  ambacho  anaweza...

View Article

Shemeji wa Rais Mstaafu Zanzibar ( Mansour Yussuf Himid) Apandishwa Kizimbani...

Shemeji wa Rais Mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar,  Aman Abedi Karume, Mansour Yussuf Himid, anaendelea kusota rumande baada ya jana kusomewa mashtaka katika Mahakama ya Mkoa wa Vuga...

View Article

Bodaboda 100 wavamia kituo cha Polisi na kuwajeruhi Askari

Kundi la waendesha pikipiki maarufu kama bodaboda wanaokadiriwa kuwa zaidi ya 100 ,  wamevamia kituo cha Polisi cha kata ya Kiroka wilaya ya Morogoro mkoani Morogoro  na  kuzusha  vurugu. Hatua hiyo...

View Article


UKATILI: Inspekta wa Polisi atiwa mbaroni kwa tuhuma za kumuua mwanaye

Kamishna Kova akiwa na RPC mpya wa Temeke, Kihenya Kihenya ************* Jeshi la Polisi linamshikilia Inspekta wake, Celestine Makene (40) kwa madai ya kumpiga hadi kumsababishia kifo mtoto wa kaka...

View Article

Agness Masogange ahojiwa Uwanja wa Ndege Dar kwa zaidi ya masaa 10

Kikosi Kazi cha Polisi cha Kuzuia Dawa za Kulevya nchini kimemhoji kwa zaidi ya saa 10, msanii Agnes Gerald ‘Masogange’ kuhusiana na tuhuma za kukamatwa na dawa aina ya crystal methamphetamine huko...

View Article


Mke na Mume Wakutwa na Madawa ya kulevya

Jeshi la Polisi Mkoani Arusha limewakamata  watu watano wakiwa na magunia saba ya madawa ya kulevya aina ya bhangi wakiwemo mke na mume. Awali askari wa Kitengo cha Kuzuia Madawa ya Kulevya Mkoani...

View Article

Wanaodaiwa kumuua Afisa Usalama wa Taifa Wafikishwa Mahakamani leo

Watuhumiwa wakiwa wamembeba mtuhumiwa mwenzao ambaye inadaiwa kuwa ni afisa usalama wa taifa. ****** Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, leo imwapindisha kizimbani watu wanne...

View Article


JUKATA lakemea njama za kuzima Mjadala wa Katiba Mpya

Jukwaa la katiba nchini Tanzania limesikitishwa na namna Bunge Maalumu la Katiba linavyotaka kunyamazisha sauti na mijadala ya wananchi, kuhusu kasoro zinazojitokeza katika mchakato unaoendelea wa...

View Article

Kesi ya "Mtoto wa Boksi" yabadilishiwa hakimu

Washtakiwa watatu wanaokabiliwa na mashtaka ya mauaji dhidi ya mtoto Nasra Rashid Mvungi, wamelazimika kubadilishiwa hakimu baada ya hakimu wa awali, kupata dharura na kutokuwepo mahakamanani hapo....

View Article

Jokate Mwegelo Apata Mpenzi Mpya Baada Ya Kusema Yupo Single

Muigizaji wa filamu Tanzania Jokate Mwegelo ambaye pia ni Miss Tanzania no.2 wa mwaka 2006 anaonekana tayari amepata mpenzi mpya baada ya kupost picha inayoonekana katka mtandao mmoja wa kijamii akiwa...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live