Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

UKATILI: Inspekta wa Polisi atiwa mbaroni kwa tuhuma za kumuua mwanaye

$
0
0
Kamishna Kova akiwa na RPC mpya wa Temeke, Kihenya Kihenya ************* Jeshi la Polisi linamshikilia Inspekta wake, Celestine Makene (40) kwa madai ya kumpiga hadi kumsababishia kifo mtoto wa kaka yake, Alerd Makene (16).    Makene anadaiwa kutenda kosa hilo Julai 24, mwaka huu katika makazi ya polisi, Mtoni Kijichi, Dar es Salaam na anashikiliwa katika Kituo cha Chang’ombe.  

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>