Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Bodaboda 100 wavamia kituo cha Polisi na kuwajeruhi Askari

$
0
0
Kundi la waendesha pikipiki maarufu kama bodaboda wanaokadiriwa kuwa zaidi ya 100 ,  wamevamia kituo cha Polisi cha kata ya Kiroka wilaya ya Morogoro mkoani Morogoro  na  kuzusha  vurugu. Hatua hiyo inadaiwa imetokana na kuchoshwa na vitendo vya uonevu wanavyofanyiwa na askari wa kituo hicho vya kuwakamata na kuwageuza kitega uchumi wanapokuwa hawana makosa. Mmoja wa wakazi wa kata

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>