Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Shemeji wa Rais Mstaafu Zanzibar ( Mansour Yussuf Himid) Apandishwa Kizimbani na kusomewa mashitaka matatu

$
0
0
Shemeji wa Rais Mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar,  Aman Abedi Karume, Mansour Yussuf Himid, anaendelea kusota rumande baada ya jana kusomewa mashtaka katika Mahakama ya Mkoa wa Vuga kumiliki silaha kinyume na sheria.  Masour alifikishwa mbele ya Hakimu Khamis Ramadhan Abdallah wa mahakama hiyo jana chini ya ulinzi mkali wa polisi na usalama wa taifa na kusomewa mashtaka

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>