Mwimbaji Christina Aguilera meamua kupiga picha akiwa mtupu kwa ajili ya jarida la ‘V Magazine’ la mwezi huu.
Katika picha hizo, mwimbaji huyo mwenye umri wa miaka 33 na mjamzito
anaekaribia kujifungua, ameonesha umbo lake akiwa na mwanae tumboni huku
akiwa amejifunika sehemu ya kifua chake na mikono.
Inaelezwa kuwa Christina ndiye aliyemuita mpiga picha Brian Bowen
Smith kwa
↧