Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Kesi ya "Mtoto wa Boksi" yabadilishiwa hakimu

$
0
0
Washtakiwa watatu wanaokabiliwa na mashtaka ya mauaji dhidi ya mtoto Nasra Rashid Mvungi, wamelazimika kubadilishiwa hakimu baada ya hakimu wa awali, kupata dharura na kutokuwepo mahakamanani hapo.   Washtakiwa hao ambao kesi yao imekuwa ikifikishwa na kutajwa, mbele ya hakimu mkazi mfawidhi wa mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa Morogoro, Mary Moyo, walilazimika kupandishwa kizimbani

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>