Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

JUKATA lakemea njama za kuzima Mjadala wa Katiba Mpya

$
0
0
Jukwaa la katiba nchini Tanzania limesikitishwa na namna Bunge Maalumu la Katiba linavyotaka kunyamazisha sauti na mijadala ya wananchi, kuhusu kasoro zinazojitokeza katika mchakato unaoendelea wa kutafuta katiba mpya. Mwenyekiti wa Jukwaa hilo Bw. Deus Kibamba ametoa kauli hiyo katika mahojiano na East Africa Radio  jijini Dar es Salaam, ikiwa ni siku moja tangu kuanza kwa vikao

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>