Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Bifu la Diamond na Ali Kiba......Nay wa Mitego atamani kutembeza kipigo kikali kwa wanaochochea ugomvi huo

$
0
0
Ushindani kati ya Diamond na Ali Kiba ambao siku zote mimi nauita ‘ushindani usio rasmi’ huku wengine wakiutafsiri kama ‘beef’ umetengeneza mitazamo tofauti kati ya wadau wa muziki Tanzania.   Hivi karibuni, G-Lover alitoa mtazamo wake kuhusu tofauti iliyopo kati yao huku akimpa credit kila mmoja.   Akiongea na Fadhili Haule  katika Sunrise ya 100.5 Times Fm, Nay wa Mitego

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles