Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mke na Mume Wakutwa na Madawa ya kulevya

$
0
0
Jeshi la Polisi Mkoani Arusha limewakamata  watu watano wakiwa na magunia saba ya madawa ya kulevya aina ya bhangi wakiwemo mke na mume. Awali askari wa Kitengo cha Kuzuia Madawa ya Kulevya Mkoani hapa wakiwa doria walipata taarifa toka kwa raia wema iliyoeleza kuwepo kwa watu wanaosafirisha madawa hayo.   Mara baada ya kupata taarifa hiyo askari hao waliweka mtego maeneo ya Sanawari

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>