Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Masikini Ray C, augua ghafla, alazwa

MWANAMUZIKI mwenye sauti ya mvuto, Ray C, amelazwa katika hospitali ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam akikabiliwa na homa kali.   Kwa mujibu wa vyanzo vyetu, mwanamuziki huyo ambaye amekuwa katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hizi ni Picha Za Tattoo Mpya Ya Agnes Masogange aliyoichora chini ya maziwa yake

  Video queen maarufu Tanzania Agness Masogange uliyemuona hvi karibuni kwenye video ya Tunda Man ft Ali Kiba, Msambinungwa ameongeza tattoo nyingine kwenye mwili wake  iliyoko  chini  ya  maziwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Chama cha akina Zitto Kabwe ( ACT-Tanzania ) chapata usajili wa...

CHAMA  cha  siasa  cha  Alliance  for  Change  and  Transparency ( ACT-Tanzania )  ambacho  kinatajwa  kuasisiwa  na  mwanasiasa  machachari, Zitto Kabwe  na  vigogo  wa  zamani  wa  CHADEMA, jana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa ya jeshi la polisi mkoani Mwanza kuhusiana na Bomu lililolipuka ndani...

Mmoja wa majeruhi wa  bomu la kutengenezwa ‘kienyeji’ ambao ulilipuka katika vyumba vya Hosteli za Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (K.K.K.T), mtaa wa Gana jana  saa mbili  usiku....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kumbe Nay wa Mitego ndiye aliyevunja ndoa ya Skaina iliyodumu kwa mwezi mmoja...

SASA hakuna ubishi kuwa, ile ndoa iliyofungwa kwa mbwembwe na kuvunjika kabla ya mwezi mmoja kati ya msanii wa filamu za Kibongo, Skyner Ally ‘Skaina’ na Saad Omar, chanzo ni Mwanabongo Fleva, Emmanuel...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Anti Lulu: "Najuta kumvulia nguo Amani, sikujua kama ana wivu mkubwa kiasi hiki"

MSANII   wa  filamu  Bongo,Lulu Semagongo  'Aunty Lulu'  anadai  kuwa  anajuta  kumvulia  nguo  mwandani  wake  aliyemtaja  kwa  jina  la  Amani  ambaye  hivi  karibuni  alimshushia  kipigo  kikali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mbowe kutangaza Baraza Kivuli kesho...Baraza hilo litawajumuisha wabunge...

Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe kesho atatangaza Baraza Kivuli la Mawaziri.    Kwa mara ya kwanza tangu Uchaguzi Mkuu uliopita wa 2010 na baadaye kuzinduliwa kwa Bunge la 10,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uchaguzi Serikali za Mitaa watengewa Sh5 bilioni

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda jana aliwasilisha bungeni, bajeti ya ofisi yake na mfuko wa Bunge inayofikia Sh5.21 trilioni. Kati ya hizo, Sh5 bilioni zimetengwa kwa ajili ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vai wa Ukweli ameshindikana.....Afumwa akifanya mambo ya aibu mbele ya...

Ukiwa  umepita  mwezi  mmoja  tangu msanii  wa  Tasnia  ya  Filamu  anayejulikana  kwa  jina  la  Isabella  Francis  'Vai  wa  Ukweli'  kuripotiwa  kujiuza, sasa  msanii  huyo  amekumbwa  na  kashfa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Isabela, Luteni Karama mahaba hadharani....Mpambe wetu awanasa wakidendeka...

Wasanii  wasioishiwa  vituko  Tanzania, Miss  Ruvuma  2005  Isabela  Mpanda  na  Luteni  Karama  wameonekana  katika  viwanja  mbalimbali  vya  burudani  wakipeana  mahaba  momoto   na  kudai kuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya leo Jumatano ya tarehe 7 May 2014

Magazeti  ya  leo  Jumatano  ya  tarehe  7 May  2014

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ray C apata nafuu, aruhusiwa kutoka Hospitali

Mwanamuziki Rehema Chalamila ‘Ray C’, ametoka katika Hospitali ya Mwananyamala, Dar es Salaam alikokuwa amelazwa. Mwanamuziki huyo ambaye amekuwa katika tiba ya kuachana na matumizi ya dawa za kulevya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Msanii nyota wa kike, Keisha ajifungua mtoto wa pili wa kiume..."Namshukuru...

Msanii nyota wa kike wa muziki wa kizazi kipya nchini, Khadija Shaban maarufu kama ‘Keisha’ amejifungua mtoto wa kiume siku ya Jumatatu (Mei 5) katika hospitali ya Mount Mkombozi Kinondoni. Akizungumza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vurugu kubwa Kibaigwa mkoani Dodoma.....Gari la mbunge lapigwa mawe, Maduka...

  Na Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma. Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linawashikilia watu 34 wakazi wa Mji mdogo wa Kibaigwa Kata ya Kibaigwa Wilaya ya Kongwa Mkoa wa Dodoma kwa makosa ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mahabusu wa Gereza Kuu la Mkoa wa Arusha wavua nguo kupinga wenzao kuachiwa

Mahabusu wa Gereza Kuu la Mkoa wa Arusha, jana walizua tafrani katika viwanja vya Mahakama ya Hakimu Mkazi jijini hapa, baada ya kuvua nguo na kugoma kushuka kwenye basi wakipinga kitendo cha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dr Cheni alazwa hospitali kutokana na ugojwa wa Dengue

Msanii wa filamu nchini, Dr Cheni amelazwa toka jana katika hospitali ya Buruhani jijini Dar es Salaam kutokana na ugonjwa wa Dengue. Akizungumza nasi  leo Dr Cheni amesema kuwa bado hali yake sio...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha za basi la Princes Muro lililopata Ajali Mikumi Mkoani Morogoro leo

    BASI la abiria la kampuni ya Princess Muro lililokuwa likitoka Njombe kwenda Dar limepata ajali eneo la Mikumi mkoani Morogoro na kujeruhi watu kadhaa. Katika ajali hiyo, hakuna aliyepoteza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya leo Alhamisi ya tarehe 8 May 2014

              Magazeti  ya  leo  Alhamisi  ya  tarehe  8  May  2014

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwanamke Azalia kwenye ndoo na kukitupa kichanga chooni.....Polisi wamtia...

MWANAMKE aliyejulikana kwa jina la Hadija Mohammed, mkazi wa Mchikichini, Ilala jijini Dar es Salaam amekumbana na mkono wa sheria baada ya kufanya kitendo cha kinyama kufuatia kujifungulia kwenye ndoo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nafasi za Mafunzo na kazi toka RafikiElimu Foundation......Baada ya mafunzo...

Taasisi  Ya  RafikiElimu  FOUNDATION   inatangaza  nafasi  za   MAFUNZO  YA  UENDESHAJI  NA  USIMAMIZI  WA  TAASISI  ZISIZO  KUWA  ZA  KISERIKALI. (  NGO  MANAGEMENT & OPERATION  )  kwa  waombaji...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>