Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Masikini Ray C, augua ghafla, alazwa

$
0
0
MWANAMUZIKI mwenye sauti ya mvuto, Ray C, amelazwa katika hospitali ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam akikabiliwa na homa kali.   Kwa mujibu wa vyanzo vyetu, mwanamuziki huyo ambaye amekuwa katika tiba ya kuachana na matumizi ya dawa za kulevya hospitalini hapo, alifikishwa hapo jana Jumatatu asubuhi na baadhi ya madaktari walibainisha kuwa Ray C anasumbuliwa na ugonjwa wa dengue

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles