Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Vurugu kubwa Kibaigwa mkoani Dodoma.....Gari la mbunge lapigwa mawe, Maduka yavunjwa...Gari la Polisi nalo lavunjwa vioo, Watu 34 wakamatwa

$
0
0
  Na Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma. Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linawashikilia watu 34 wakazi wa Mji mdogo wa Kibaigwa Kata ya Kibaigwa Wilaya ya Kongwa Mkoa wa Dodoma kwa makosa ya kufanya fujo na kuharibu mali tukio lililotokea tarehe 05/05/2014 majira ya saa 13:30Hrs.   Kamanada wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>