Na Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma.
Jeshi
la Polisi Mkoa wa Dodoma linawashikilia watu 34 wakazi wa Mji mdogo wa
Kibaigwa Kata ya Kibaigwa Wilaya ya Kongwa Mkoa wa Dodoma kwa makosa ya
kufanya fujo na kuharibu mali tukio lililotokea tarehe 05/05/2014 majira
ya saa 13:30Hrs.
Kamanada
wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID
MISIME – SACP
↧