Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mbowe kutangaza Baraza Kivuli kesho...Baraza hilo litawajumuisha wabunge kutoka vyama vingine nje ya Chadema ambavyo ni CUF na NCCR – Mageuzi.

$
0
0
Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe kesho atatangaza Baraza Kivuli la Mawaziri.    Kwa mara ya kwanza tangu Uchaguzi Mkuu uliopita wa 2010 na baadaye kuzinduliwa kwa Bunge la 10, baraza hilo litawajumuisha wabunge kutoka vyama vingine nje ya Chadema. Vyama vitakavyojumuishwa ni CUF na NCCR – Mageuzi.   “Nitalitangaza baraza langu jipya la mawaziri Alhamisi (

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>