Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Taarifa ya jeshi la polisi mkoani Mwanza kuhusiana na Bomu lililolipuka ndani ya kanisa la KKT Makongoro na kujeruhi mtu mmoja

$
0
0
Mmoja wa majeruhi wa  bomu la kutengenezwa ‘kienyeji’ ambao ulilipuka katika vyumba vya Hosteli za Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (K.K.K.T), mtaa wa Gana jana  saa mbili  usiku.  ************* Mtu mmoja amenusurika kufa baada ya kulipukiwa na bomu lili lotengenezwa kienyeji kisha kuhifadhiwa katika mfumo wa zawadi na kutegwa katika nyumba ya kupumzikia wageni iliyopo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>